Mercy Masika – Nivute (Draw Me Close) Lyrics

 


Mercy Masika – Nivute (Draw Me Close) Lyrics


[Verse 1]

Nimeishi kwa nyumba yako,

Miaka mingi

Lakini sa nataka kwako

Kusongea zaidi

Upeneayo nami nipende

Sauti nifahamu zaidi

Nione kama uonavyo

Upeneayo nami nipende

Sauti nifahamu zaidi

Nione kama uonavyo


[Chorus]

Nivute we Baba, Karibu na wewe

Naulenga moyo wako

Baba kanna Daudi

Njia zangu maisna yangu,

Yalingane na neno lako

Njia zangu maistna yangu,

Yakupeneeze, Oh, Oh


[Verse 2]

Nimeamua maisha yangu

Kwa utukufu wako

Yesu ukiwa nami, Oh wanib0dilisrta

Kama samaki ahitaji maji

Ndivyo nakuhitaji

Wewe ndiwe lengo langu we

Kama samaki ahitaji maji

Ndivyo nakuhitaji

Wewe ndiwe lengo langu we


[Chorus]

Nivute we Baba, karibu na wewe

Naulenga moyo wako

Baba kanna Daudi

Njia zangu maisna yangu,

Yalingane na neno lako

Njia zangu maistna yangu,

Yakupeneeze, Oh, Oh


{Nivute we Baba, karibu na wewe

Naulenga moyo wako

Baba kanna Daudi

Njia zangu maisna yangu,

Yalingane na neno lako

Njia zangu maistna yangu,

Yakupeneeze, Oh, Oh} [x2]

Post a Comment

0 Comments