VIDEO | Harmonize – Sandakalawe | Download

 




Sandakalawe is a Amapino song in english means a game of chance to compete for valuable things like money whoever succeeds is the winner.

 Lyrics
(Yaw Yaw)
Yebooo

Konde boy call me number one
So much money in the bank money
All dem girls call me honey
Only your love can turn me to a mad man

Leo nakuto….totoo nakutoa kwenu uje kwangu 
Nina hamu yakuto….totoo kutoa mahali uwe wangu
Basi sema unakuja saa ngapi ama kwenu umeshakatazwa 
Said kichwa nitamueka wapi na mkongo nimeshampakaza 
Iyo mitungi ndo usiseme utakunywa utasaza 
Kama pesa ndo zipo nyingi kuzigawa nimeshaanza 

Wahuni sandakalawe amina aah mwenye kupata apateee 
Je mwenye kukosa akoseee eeh kuku gani? 
(mweupee)
Ah sandakalawe amina na mwenye kupata apateee 
Je mwenye kukosa akoseee eeh kuku gani? 

Leo nataka kukuto….too kutoa out 
Mimi na hamu ya kuto….too kutoka na wewe 
Jiandae leo na kuto….too kutoa out
Mimi na hamu ya kuto….too kutoka na wewe 
(Yebooo)

(Yeah)
My beautiful baby from juba I wanna take you to dubai
Yes am ready to do that do that
Hasa twende popolipo lipopoo popolipo lipopoo
popolipo lipopoo popolipo lipopoo
Iyo mitungi ndo usiseme utakunywa utasaza 
Kama pesa ndo zipo nyingi kuzigawa nimeshaanza 

Wahuni sandakalawe amina aah mwenye kupata apateee 
Je mwenye kukosa akoseee eeh kuku gani? 
(mweupee)
Ah sandakalawe amina na mwenye kupata apateee 
Je mwenye kukosa akoseee eeh kuku gani? 

Leo nataka kukuto….too kutoa out 
Mimi na hamu ya kuto….too kutoka na wewe 
Jiandae leo na kuto….too kutoa out
Mimi na hamu ya kuto….too kutoka na wewe 
(Yebooo)

Leo nataka kukuto….too kutoa out 
Mimi na hamu ya kuto….too kutoka na wewe 
Jiandae leo na kuto….too kutoa out
Mimi na hamu ya kuto….too kutoka na wewe 
(Yebooo)

Post a Comment

0 Comments