BALAMA AANZA MAZOEZI MEPESI



Hatimae kiungo mshambualijia wa Yanga SC Bamalama mapinduzi Kipenseli ameanza mazoezi mepesi baada yakuwa nje ya uwanja takribani msimu mzima kutoka na majeraha yaliyomuweka nje kwa kupindi chote

Taarifa zinasema Uongozi wa Yanga umemuongezea mchezaji huyo mkataba wa miaka 2 kuendelea kuwa mchezaji wa timu hiyo baada yakuumia akiitumikia timu hiyo.

Mchezaji huyo ambae kwasasa yuko jijini Daresalaam ameendelea na mazoezi binafsi baada yakuruhusiwa na madaktari waliokuwa wanamuuguza kwakipindi chote

Post a Comment

0 Comments