NAFASI ZA KAZI WILAYA YA MKURANGA

 


Wilaya ya Mkuranga ni mojawapo kati ya Wilaya 9 za Mkoa wa Pwani.  Ipo katikati ya latitude 6o.35 o na 7o.15o Kusini mwa Ikweta; na Longitudi 38o.15o na 39o.30o Mashariki mwa Meridian. Wilaya ya Mkuranga inapakana na Wilaya ya Temeke kwa upande wa Kaskazini, Ilala upande wa Kaskazini Magharibi kwa upande wa Kusini inapakana na WIlaya ya Wilaya ya Kibiti, Upande wa Mashariki inapakana na Bahari ya Hindi na upande wa Magharibi inapakana na Wilaya ya Kisarawe. Wilaya ya Mkuranga ina ukubwa wa eneo la Km. za mraba 2,432 kati ya hizo Km. za mraba 447 ni za maji (Bahari ya Hindi) na Km. za mraba 1985 za nchi kavu ambapo eneo la km. za mraba 1934 linafaa kwa kilimo.

news TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI MKURANGA DC 08-07-2021

Post a Comment

0 Comments