ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE USAILI MAKAMBAKO TC

 


Mkurugenzi wa  Halmashauri ya Mji Makambako anawatangazia Waombaji  wa nafasi za Kazi ya Mtendaji wa Kijiji Daraja Il waliokidhi vigezo(Sifa) Kuhudhuria Usaili utakaofanyika siku ya Jumatatu tarehe 12/07/2021(Usaili wa kuandika Written Interview) na siku ya Jumatano Tarehe 14/07/2021 /(Usaili wa Kuongea Oral Interview) Kuanzia saa   2:00 Asubuhi katika Ukumbi wa  Shule  Ya Sekondari Makambako.


ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE USAILI MAKAMBAKO TC.pdf

Post a Comment

0 Comments